Association AMKA onlus

ASSOCIATION

 

AMKA onlus, ni shirika ya sio shaba, ukomo; ili yo undwa muaka wa elfu mbili na moja (2001), na shirika hiyo ina timiza ma kusudi (ma azima) ya ma endeleo ya kujibeba binafsi ndani ya ma inchi ya kusini.

 

AMKA ana saidia na kuleta ma ju hudi ya maendeleo ya sio kuegamia mtu mungine kwa ajili ya kutegemeza ma kusudi ya majengo mupya ndani ya ma vijiji ya uchumi na ya ushirika, na ku zaminisha ma haki ya muhimu ku pitia kushiriki kua wakaji.

 

Ndani ya inchi ya ki Démocratia ya Congo (RDC), AMKA onlus kua ma patano na shirika yake pacha AMKA Katanga, anatimiza makusudi ya maendeleo ya wadifu kua kujitia katika vijiji ya maadibisha ya watoto, usomi na lasandika laua wakubwa, afya, uhuru wa maji safi, kuleta feza ya kazi ya laukopesha, biashara ya adili na kupiganisha kuambukiza magonjua ya ukimwi.
AMKA Italie, anaji andaa kua habari na kuarifu kua kutengeneza vijiri, mazungumuzo ama hotuba, vionesho, kuazimu na ma picha, kushindania kua makutano na ma usimamizi ama upatonishi ya kila aina.

 

Shaba ni ya kufanya ufahamu ya ma hali ama ma daraja ya maisha ndani ao katika ma inchi iko ndani ya njia ya maendeleo na juu kusubutisha wazo kisa wingi kuelekea hii vicha ya maneno.
AMKA anasaidia akileta jibu kua matabu ya hatari, kua mambo ya feza kua faraja na ma biashana ya adili pia na umoja.

 

Ma awali yetu (mwanzo): Kutumika kua mfano ya «adili, amini»: kati ya makusudi, AMKA anashika kabisa ya achanyisho ya urefu inayo unda shirika na inaweza kuusa ma nguzo juu ya ku komaa kua huyo.

Njo kua maana, ali chagua kua kujitia katika kua jumla ndani ya vipindi (vijiji) achana sawa majengo, Afyana ma juhudi ya mazao. Ma azimio iko yenye kuambatana katikati yao na wa kaadi wa mahali wakiwa mu ushika usa ku abiri.

 

Kutia rahani ya watu wamahali: Wafanya kazi, walimu, waganga na wa musauni wa shirika wanatumika kati ya ma adiri AMKA, ni wa Congomani.
 

Kufanya kushariki kwa jumla ya wakaaji: Wemye faida mu mausimamizi ya shirika AMKA sio tu mpaka «wa elekeaji», lakini ina na mapaswamingi ya utendaji (matendaji) inayo onesha hitaji yao na wana fanya (tengeneza) ma mifano ya kujibia ku hitaji. Hali ya ujengo ya ile kipindi ni ya kuleta mfano ya ku mu «rudisha kuwa na uwezo» ya ku himiza kupitia kufundisha (mafundishaji), matengene zo na ma tendo.

 
Kuangalia achanisho kama bei, kiasi: AMKA anatenda kua ajili ya kuambukiza kua kila mtu diuhudi katika heshima kua uwingi wa katibia ilioyo patikana sawa haki ya msingi na sawa mzizi ya maendeleo. Na mwishowe hvyo eko wakujulikana siotu mpaka kati ya kukomaa ya uchumi lakini sawa njia, uwezo wa kupata kuwapo moja ya kutiliza «utulivu» kati ya ma nukta ya kutezamia.